MWANADADA Nyota katika tasnia ya filamu za Swahiliwood, Wastara Juma 'Stara', anaandika wimbo wa 'Asante Tanzania' akishirikiana na mumewe, Juma Kilowoko 'Sajuki'. �Katika wimbo huu tunawashukru Watanzania wote kwa michango yao na maombi yaliyomwezesha mume wangu Sajuki kupona baada ya kusumbuliwa na maradhi yaliyokuwa yakimsumbua," alisema. "Si rahisi kuwafikia Watanzania wote kwa wakati mmoja, lakini kwa njia ya kuimba ujumbe wetu utafika. Lengo ni kusema asanteni." Alisema watafanya pia maonyesho kadhaa mikoani na kwa kuanzia juzi Jumapili walikuwa mjini Iringa.
Popular Posts
-
What to do in Zanzibar when you’re a tourist? I had booked myself a 4-day trip to the island, and, taking the advice of friends and a quic...
-
RAIS Jakaya Kikwete amewapandisha vyeo maofisa wakuu kutoka cheo cha Meja Jenerali kuwa Luteni Jenerali kuanzia Novemba 21,mwaka huu. K...
-
KUTOKANA na kile kichoonekana ni kutaka kukabiliana na uhaba wa sukari na kupanda kwa bei yake, Waziri Mkuu Mizengo Pinda anatarajia kukuta...
-
Na Heka Paul na Shakila Galus- MAELEZO- Dar es salaam Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Jakaya Mrisho Kikwete anatarajiwa kuf...
-
MBUNGE wa Jimbo la Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi, maarufu Sugu, ameungana na wananchi wanaotaka Katiba Mpya ifute uwepo wa wakuu wa wilaya...
-
Brazil's government has said it will implement 50bn reais ($30bn; £19bn) of spending cuts in order to curb inflation and help prevent t...
-
The rankings of Africa’s top higher education institutions is provided by the 4 International Colleges & Universities (4icu). ...
-
Katika Teknolojia Wiki Hii - Polisi yawasaka watumiaji Blackberry, wadukuzi walenga Blackberry, mashine za kupaa zilizotengenezwa nyumbani ...
-
WAMILIKI wa Kampuni ya kufua umeme wa dharura ya Dowans jana walitoka mahakamani kwa furaha baada ya Mahakama Kuu ya Tanzania kutupilia mba...
Habari Leo Tanzania, Media, (East Africa)
0 comments:
Post a Comment