MWANADADA Nyota katika tasnia ya filamu za Swahiliwood, Wastara Juma 'Stara', anaandika wimbo wa 'Asante Tanzania' akishirikiana na mumewe, Juma Kilowoko 'Sajuki'. �Katika wimbo huu tunawashukru Watanzania wote kwa michango yao na maombi yaliyomwezesha mume wangu Sajuki kupona baada ya kusumbuliwa na maradhi yaliyokuwa yakimsumbua," alisema. "Si rahisi kuwafikia Watanzania wote kwa wakati mmoja, lakini kwa njia ya kuimba ujumbe wetu utafika. Lengo ni kusema asanteni." Alisema watafanya pia maonyesho kadhaa mikoani na kwa kuanzia juzi Jumapili walikuwa mjini Iringa.
Popular Posts
-
What to do in Zanzibar when you’re a tourist? I had booked myself a 4-day trip to the island, and, taking the advice of friends and a quic...
-
AKICHANGIA bajeti ya Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo leo mchana, Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi 'Sugu' ameit...
-
REBECCA BALIRA, Mtanzania anayeishi Uingereza, amehukumiwa kifungo cha miezi sita JELA na kumlipa msichana Methodia Mathias (21) fidia ya P...
-
Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe akihutubia wafuasi wa chama hicho katika mkutano wa hadhara uliofanyika jana…jijin Arusha
-
RAIS Jakaya Kikwete ameeleza mikakati ya Serikali yake kuwa ni kuhakikisha inamaliza kabisa maambukizi mapya ya virusi vya Ukimwi ifikapo...
-
ASKOFU Mkuu wa Kanisa la Anglikana Tanzania, Dk Valentino Mokiwa amemwomba aliyekuwa Waziri Mkuu, Edward Lowassa kwamba endapo atafanikiwa ...
-
Chimbuko la uvujaji wa mitihani nchini Tanzania lina historia ndefu inayoenda sambamba na kuundwa kwa BARAZA LA MITIHANI LA TAI...
-
WAZIRI wa Uchukuzi, Dk Harrison Mwakyembe amewapiga marufuku wafanyakazi wote walio chini ya wizara yake kusafiri kwa ndege katika daraja...
-
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) Liberatus Sabas akiwaonyesha waandishi wa habari (Ha...
-
BALOZI wa Palestina hapa nchini, Dk Nasri Abujaish amesema ushindi iliyoupata nchi yake baada ya kupigiwa kura na hatimaye kuipandisha h...
Habari Leo Tanzania, Media, (East Africa)




0 comments:
Post a Comment