MWANADADA Nyota katika tasnia ya filamu za Swahiliwood, Wastara Juma 'Stara', anaandika wimbo wa 'Asante Tanzania' akishirikiana na mumewe, Juma Kilowoko 'Sajuki'. �Katika wimbo huu tunawashukru Watanzania wote kwa michango yao na maombi yaliyomwezesha mume wangu Sajuki kupona baada ya kusumbuliwa na maradhi yaliyokuwa yakimsumbua," alisema. "Si rahisi kuwafikia Watanzania wote kwa wakati mmoja, lakini kwa njia ya kuimba ujumbe wetu utafika. Lengo ni kusema asanteni." Alisema watafanya pia maonyesho kadhaa mikoani na kwa kuanzia juzi Jumapili walikuwa mjini Iringa.
Popular Posts
-
SHOGA AOKOKA NA KUACHANA KABISA NA MASUALA YA USHOGA KUTOKANA NA KAMPENI MAALUM ILIYOENDESHWA NA KANISA LA TANZANIA ASSEMBLIES OF...
-
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimjulia hali mtoto Andrew Simba(15) aliyelazwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili wakati Rais alipowate...
-
Mwenyekiti wa Kamati ya Huduma ya Bunge ya Hesbu za Mashirika ya Umma, Kabwe Zuberi Zitto, akizungumza na waandishi wa habari mjini Dodoma ...
-
Kwa miaka 28 ukuta huo ulitenganisha upande wa mashariki uliokuwa chini ya utawala wa kikoministi na ule uliokuwa sehemu ya Ujerumani Mag...
-
Mwanamfalme wa Uingereza Charles na mkewe Camilla, au The Prince of Wales and The Duchess of Cornwall, kama wanavyojulikana rasmi, watafany...
-
KUTOKANA na kile kichoonekana ni kutaka kukabiliana na uhaba wa sukari na kupanda kwa bei yake, Waziri Mkuu Mizengo Pinda anatarajia kukuta...
-
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti waa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,pia Mkuu wa Chuo Kikuu cha Taifa SUZA,akisalimiana na Wazi...
-
I: UTANGULIZI a) Masuala ya Jumla Mheshimiwa Spika, 1. Ni jambo la kumshukuru Mwenyezi M...
-
Askofu mkuu wa Canterbury ameomba wakutane na Rais Robert Mugabe huku kukiwa na ripoti za kuwepo ghasia baina ya makundi yanayopingana ya m...
Habari Leo Tanzania, Media, (East Africa)




0 comments:
Post a Comment