Wananchi wameshauriwa kutekeleza agizo la Utalii kwa wote kwa kuyatembelea maeneo mbali mbali ya utalii Zanzibar ili kufahamu historia ya nchi ya Zanzibar kabla na baada ya Mapinduzi. Ushauri huo umetolewa na Mkuu wa Divisheni ya Makumbusho Zanzibar Khamis Abdallah Ali wakati alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari katika ziara iliyojumuisha wanahabari na maafisa wa Makumbusho Amesema katika kutekeleza agizo la Utalii kwa wote wananchi wanapaswa kushajihishwa kutembelea maeneo ya kihistoria badala ya kuwaachia watalii peke yao kufanya ziara katika maeneo hayo. Amesema ni jambo la kusikitisha kuona wenyeji hawana hamu ya kujua historia ya nchi yao na kuwafanya wageni kujua historia ya Zanzibar kuliko Ameongeza kuwa Idara ya Makumbusho imeweka kiwango kidogo cha Shilingi 1000 ili kumrahisishia mwenyeji pale anapohitaji kwenda kutembelea maeneo ya makumbusho kwa ajili ya kujua historia ya nchi yao
Popular Posts
-
Chimbuko la uvujaji wa mitihani nchini Tanzania lina historia ndefu inayoenda sambamba na kuundwa kwa BARAZA LA MITIHANI LA TAI...
-
What to do in Zanzibar when you’re a tourist? I had booked myself a 4-day trip to the island, and, taking the advice of friends and a quic...
-
RAIS Jakaya Kikwete ameeleza mikakati ya Serikali yake kuwa ni kuhakikisha inamaliza kabisa maambukizi mapya ya virusi vya Ukimwi ifikapo...
-
WAZIRI wa Uchukuzi, Dk Harrison Mwakyembe amewapiga marufuku wafanyakazi wote walio chini ya wizara yake kusafiri kwa ndege katika daraja...
-
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) Liberatus Sabas akiwaonyesha waandishi wa habari (Ha...
-
BALOZI wa Palestina hapa nchini, Dk Nasri Abujaish amesema ushindi iliyoupata nchi yake baada ya kupigiwa kura na hatimaye kuipandisha h...
-
JUMUIYA ya Ulaya (EU), imeongeza masharti kwa Serikali ya Tanzania ili iweze kupatiwa msaada wa Bajeti kwa mwaka ujao wa fedha 2013/14. ...
-
ALIYEKUWA Mkurugenzi wa Utawala na Utumishi (DPA) wa Benki Kuu Tanzania (BoT), Amatus Liyumba ambaye anatumikia kifungo cha miaka miwili je...
-
KUTOKANA na kile kichoonekana ni kutaka kukabiliana na uhaba wa sukari na kupanda kwa bei yake, Waziri Mkuu Mizengo Pinda anatarajia kukuta...
Habari Leo Tanzania, Media, (East Africa)




0 comments:
Post a Comment