Wananchi wameshauriwa kutekeleza agizo la Utalii kwa wote kwa kuyatembelea maeneo mbali mbali ya utalii Zanzibar ili kufahamu historia ya nchi ya Zanzibar kabla na baada ya Mapinduzi. Ushauri huo umetolewa na Mkuu wa Divisheni ya Makumbusho Zanzibar Khamis Abdallah Ali wakati alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari katika ziara iliyojumuisha wanahabari na maafisa wa Makumbusho Amesema katika kutekeleza agizo la Utalii kwa wote wananchi wanapaswa kushajihishwa kutembelea maeneo ya kihistoria badala ya kuwaachia watalii peke yao kufanya ziara katika maeneo hayo. Amesema ni jambo la kusikitisha kuona wenyeji hawana hamu ya kujua historia ya nchi yao na kuwafanya wageni kujua historia ya Zanzibar kuliko Ameongeza kuwa Idara ya Makumbusho imeweka kiwango kidogo cha Shilingi 1000 ili kumrahisishia mwenyeji pale anapohitaji kwenda kutembelea maeneo ya makumbusho kwa ajili ya kujua historia ya nchi yao
Popular Posts
-
WIZARA ya Nishati na Madini, imesema tatizo la umeme nchini linatokana na kuchoka kwa miundombinu na hivyo kuzidiwa nguvu. Kauli hiyo ...
-
What to do in Zanzibar when you’re a tourist? I had booked myself a 4-day trip to the island, and, taking the advice of friends and a quic...
-
SERIKALI itatoa leseni kwa wafanyabiashara wa hapa nchini, ili kuwawezesha kuagiza tani 120,000 za sukari kutoka nje ya nchi na sukari hiyo...
-
Rap icon Tupac Shakur covers the latest issue of XXL in a profile that celebrates the rapper, who passed away 15 years ago. In the latest...
-
BAADHI ya wananchi wa Ubungo katika Manispaa ya Kinondoni, jana wavamia Ofisi za Kampuni inayosambaza maji katika Jiji la Dar es Salaam na...
-
WAMILIKI wa Kampuni ya kufua umeme wa dharura ya Dowans jana walitoka mahakamani kwa furaha baada ya Mahakama Kuu ya Tanzania kutupilia mba...
-
Chimbuko la uvujaji wa mitihani nchini Tanzania lina historia ndefu inayoenda sambamba na kuundwa kwa BARAZA LA MITIHANI LA TAI...
-
RAIS wa Uganda, Yoweri Museveni amewapandisha vyeo maofisa wa juu wa jeshi pamoja na kuwahamisha baadhi ya maofisa akiwemo mlinzi wake mk...
-
I: UTANGULIZI a) Masuala ya Jumla Mheshimiwa Spika, 1. Ni jambo la kumshukuru Mwenyezi M...
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania DK.Jakaya kikwete akilihutubia bunge mjini Dodoma.kulia ni spika wa Bunge Anne Makinda. Wab...
Habari Leo Tanzania, Media, (East Africa)




0 comments:
Post a Comment