RAIS wa Uganda, Yoweri Museveni amewapandisha vyeo maofisa wa juu wa jeshi pamoja na kuwahamisha baadhi ya maofisa akiwemo mlinzi wake mkuu, Kanali Wilson Mbadi. Kutokana na mabadiliko hayo, Jeshi la Polisi limethibitisha mabadiliko Kanali Mbadi ambaye alikuwa mlinzi mkuu wa Rais Museveni kwa muda wa miaka minne na kuwa Kamanda wa divisheni ya nne. Mabadiliko hayo katika Serikali ya Museveni yamesababisha Kanali Muhanga Kayanja, kuwa Kamanda Mkuu wa Polisi ambapo Kamanda mkuu wa Uganda katika Mji wa Mogadishu nchini Somalia, Brigedia Paul Lokech, amepelekwa Russia kuwa mshauri wa kijeshi. Vile vile Rais huyo amemteua Kanali, Peter Elwelu kuwa kamanda katika divisheni ya tatu ambapo amechukua nafasi ya Brigedia Burundi Nyamunywanisa, ambaye amepelekwa nchini Marekani katika Mji wa Washington kuwa mshauri wa kijeshi.
Popular Posts
-
Nchi kubwa na yenye rasilimali nyingi, Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo (DRC) imekuwa katika kile kinachotajwa kuwa vita vya Dunia vya Afri...
-
Rap icon Tupac Shakur covers the latest issue of XXL in a profile that celebrates the rapper, who passed away 15 years ago. In the latest...
-
Global wise softnet company is Just providing web hosting for $ 100 per year, contact for your web hosting/ Email; globalwisesoftnet@gma...
-
Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo Joseph Kabila amekanusha vikali madai kwamba alishinda uchaguzi wa nchi hiyo kupitia wizi wa kura...
-
WIZARA ya Nishati na Madini, imesema tatizo la umeme nchini linatokana na kuchoka kwa miundombinu na hivyo kuzidiwa nguvu. Kauli hiyo ...
-
MWENYEKITI wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Mstaafu Joseph Warioba amesema moja ya mambo yaliyohojiwa na wananchi wengi katika mchaka...
-
RAIS wa Uganda, Yoweri Museveni amewapandisha vyeo maofisa wa juu wa jeshi pamoja na kuwahamisha baadhi ya maofisa akiwemo mlinzi wake mk...
-
US Vice-President Joe Biden has told his Chinese counterpart Xi Jinping that global economic stability rests on the US and China finding co...
-
Katika kuitikia kaulimbiu ya kilimo kwanza Kampuni ya Utalii ya Cordial Tours Yenye makao makuu yake Jijini Dar es salaam imeamua kuunga Mk...
-
President Robert Mugabe scoffed Saturday at calls for him to retire, saying he will remain in power until his Zanu PF party wins elections...
Habari Leo Tanzania, Media, (East Africa)




0 comments:
Post a Comment