RAIS wa Uganda, Yoweri Museveni amewapandisha vyeo maofisa wa juu wa jeshi pamoja na kuwahamisha baadhi ya maofisa akiwemo mlinzi wake mkuu, Kanali Wilson Mbadi. Kutokana na mabadiliko hayo, Jeshi la Polisi limethibitisha mabadiliko Kanali Mbadi ambaye alikuwa mlinzi mkuu wa Rais Museveni kwa muda wa miaka minne na kuwa Kamanda wa divisheni ya nne. Mabadiliko hayo katika Serikali ya Museveni yamesababisha Kanali Muhanga Kayanja, kuwa Kamanda Mkuu wa Polisi ambapo Kamanda mkuu wa Uganda katika Mji wa Mogadishu nchini Somalia, Brigedia Paul Lokech, amepelekwa Russia kuwa mshauri wa kijeshi. Vile vile Rais huyo amemteua Kanali, Peter Elwelu kuwa kamanda katika divisheni ya tatu ambapo amechukua nafasi ya Brigedia Burundi Nyamunywanisa, ambaye amepelekwa nchini Marekani katika Mji wa Washington kuwa mshauri wa kijeshi.
Popular Posts
-
SHOGA AOKOKA NA KUACHANA KABISA NA MASUALA YA USHOGA KUTOKANA NA KAMPENI MAALUM ILIYOENDESHWA NA KANISA LA TANZANIA ASSEMBLIES OF...
-
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimjulia hali mtoto Andrew Simba(15) aliyelazwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili wakati Rais alipowate...
-
Mwenyekiti wa Kamati ya Huduma ya Bunge ya Hesbu za Mashirika ya Umma, Kabwe Zuberi Zitto, akizungumza na waandishi wa habari mjini Dodoma ...
-
Kwa miaka 28 ukuta huo ulitenganisha upande wa mashariki uliokuwa chini ya utawala wa kikoministi na ule uliokuwa sehemu ya Ujerumani Mag...
-
Mwanamfalme wa Uingereza Charles na mkewe Camilla, au The Prince of Wales and The Duchess of Cornwall, kama wanavyojulikana rasmi, watafany...
-
KUTOKANA na kile kichoonekana ni kutaka kukabiliana na uhaba wa sukari na kupanda kwa bei yake, Waziri Mkuu Mizengo Pinda anatarajia kukuta...
-
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti waa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,pia Mkuu wa Chuo Kikuu cha Taifa SUZA,akisalimiana na Wazi...
-
I: UTANGULIZI a) Masuala ya Jumla Mheshimiwa Spika, 1. Ni jambo la kumshukuru Mwenyezi M...
-
Askofu mkuu wa Canterbury ameomba wakutane na Rais Robert Mugabe huku kukiwa na ripoti za kuwepo ghasia baina ya makundi yanayopingana ya m...
Habari Leo Tanzania, Media, (East Africa)




0 comments:
Post a Comment