RAIS wa Uganda, Yoweri Museveni amewapandisha vyeo maofisa wa juu wa jeshi pamoja na kuwahamisha baadhi ya maofisa akiwemo mlinzi wake mkuu, Kanali Wilson Mbadi. Kutokana na mabadiliko hayo, Jeshi la Polisi limethibitisha mabadiliko Kanali Mbadi ambaye alikuwa mlinzi mkuu wa Rais Museveni kwa muda wa miaka minne na kuwa Kamanda wa divisheni ya nne. Mabadiliko hayo katika Serikali ya Museveni yamesababisha Kanali Muhanga Kayanja, kuwa Kamanda Mkuu wa Polisi ambapo Kamanda mkuu wa Uganda katika Mji wa Mogadishu nchini Somalia, Brigedia Paul Lokech, amepelekwa Russia kuwa mshauri wa kijeshi. Vile vile Rais huyo amemteua Kanali, Peter Elwelu kuwa kamanda katika divisheni ya tatu ambapo amechukua nafasi ya Brigedia Burundi Nyamunywanisa, ambaye amepelekwa nchini Marekani katika Mji wa Washington kuwa mshauri wa kijeshi.
Popular Posts
-
Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo Joseph Kabila amekanusha vikali madai kwamba alishinda uchaguzi wa nchi hiyo kupitia wizi wa kura...
-
Huduma ya Maji na Nishati (EWURA), Mhandisi Godwin Samwel, akizungumza na wanahabari jana jijini, Dar es Salaam kuhusu kupanda kwa bei za m...
-
Pope Benedict XVI is in the Spanish capital, Madrid, for four days of events expected to be attended by hundreds of thousands of people. ...
-
Mkesha ulofanyika katika uwanja wa Taifa wa mpira katika kuliombea Taifa
-
Waziri wa Usalama wa Nchi, George Saitoti, alisema jeshi litawasaka wafuasi wa kikundi cha waislamu wenye siasa kali, al Shabaab, kokote wa...
-
Maandamano kupinga uroho wa makampuni yamefanywa sehemu mbali mbali za dunia, yakitiwa moyo na maandamano ya wiki mbili sasa yanayofanywa N...
-
Katika kuitikia kaulimbiu ya kilimo kwanza Kampuni ya Utalii ya Cordial Tours Yenye makao makuu yake Jijini Dar es salaam imeamua kuunga Mk...
-
ALIYEKUWA Mkurugenzi wa Utawala na Utumishi (DPA) wa Benki Kuu Tanzania (BoT), Amatus Liyumba ambaye anatumikia kifungo cha miaka miwili je...
-
MWANASIASA machachari ambaye pia ni Waziri wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, Samuel Sitta ametangaza nia ya kugombea Urais wa Jamhuri ya Mu...
-
Mwanamfalme wa Uingereza Charles na mkewe Camilla, au The Prince of Wales and The Duchess of Cornwall, kama wanavyojulikana rasmi, watafany...
Habari Leo Tanzania, Media, (East Africa)




0 comments:
Post a Comment