RAIS wa Uganda, Yoweri Museveni amewapandisha vyeo maofisa wa juu wa jeshi pamoja na kuwahamisha baadhi ya maofisa akiwemo mlinzi wake mkuu, Kanali Wilson Mbadi. Kutokana na mabadiliko hayo, Jeshi la Polisi limethibitisha mabadiliko Kanali Mbadi ambaye alikuwa mlinzi mkuu wa Rais Museveni kwa muda wa miaka minne na kuwa Kamanda wa divisheni ya nne. Mabadiliko hayo katika Serikali ya Museveni yamesababisha Kanali Muhanga Kayanja, kuwa Kamanda Mkuu wa Polisi ambapo Kamanda mkuu wa Uganda katika Mji wa Mogadishu nchini Somalia, Brigedia Paul Lokech, amepelekwa Russia kuwa mshauri wa kijeshi. Vile vile Rais huyo amemteua Kanali, Peter Elwelu kuwa kamanda katika divisheni ya tatu ambapo amechukua nafasi ya Brigedia Burundi Nyamunywanisa, ambaye amepelekwa nchini Marekani katika Mji wa Washington kuwa mshauri wa kijeshi.
Popular Posts
-
Chimbuko la uvujaji wa mitihani nchini Tanzania lina historia ndefu inayoenda sambamba na kuundwa kwa BARAZA LA MITIHANI LA TAI...
-
What to do in Zanzibar when you’re a tourist? I had booked myself a 4-day trip to the island, and, taking the advice of friends and a quic...
-
RAIS Jakaya Kikwete ameeleza mikakati ya Serikali yake kuwa ni kuhakikisha inamaliza kabisa maambukizi mapya ya virusi vya Ukimwi ifikapo...
-
WAZIRI wa Uchukuzi, Dk Harrison Mwakyembe amewapiga marufuku wafanyakazi wote walio chini ya wizara yake kusafiri kwa ndege katika daraja...
-
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) Liberatus Sabas akiwaonyesha waandishi wa habari (Ha...
-
BALOZI wa Palestina hapa nchini, Dk Nasri Abujaish amesema ushindi iliyoupata nchi yake baada ya kupigiwa kura na hatimaye kuipandisha h...
-
JUMUIYA ya Ulaya (EU), imeongeza masharti kwa Serikali ya Tanzania ili iweze kupatiwa msaada wa Bajeti kwa mwaka ujao wa fedha 2013/14. ...
-
ALIYEKUWA Mkurugenzi wa Utawala na Utumishi (DPA) wa Benki Kuu Tanzania (BoT), Amatus Liyumba ambaye anatumikia kifungo cha miaka miwili je...
-
KUTOKANA na kile kichoonekana ni kutaka kukabiliana na uhaba wa sukari na kupanda kwa bei yake, Waziri Mkuu Mizengo Pinda anatarajia kukuta...
Habari Leo Tanzania, Media, (East Africa)




0 comments:
Post a Comment