skip to main | skip to sidebar
Facebook RSS Feed Twitter

Habari Leo Tanzania, Media, (East Africa)

Pages

  • Home

PINDA AENDA NYUMBANI KWA MAREHEMU MGIGWA KUKAGUA MAANDALIZI YA MAZISHI NA KUWAPA POLE WAFIWA

Jitokezedirectory Wednesday, January 8, 2014



Waziri Mkuu, Mizengo Pinda  akisalimiana na baadhi  ya waombolezaji baada a kuwasili nyumbani kwa  aliyekuwa  Wazri wa Fedha, Dr. William Mgimwa  katia kijiji cha Magunga ambako alikwenda kutoa pole na kukagua maandalizi ya  mazishi Januari 5, 2013. (Picha na  Ofisi ya Waziri Mkuu) 


Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na  Bibi Jane Katingo, Mama Mzazi wa Aliekuwa Waziri wa Fedha, Dr. William Mgimwa wakati  alipokwenda  nyumbani kwa marehemu huyo katika kijiji cha Magunga, Iringa  kutoa pole na kuangalia maandalizi a mazishi  Januari 5, 20134. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) 




 Waziri mkuu, Mizengo  Pinda  akizungumza na   jamaa wa karibu wa aliyekuwa waziri wa Fedha, Dr. William Mgimwa baada ya kuwasili nyumbani kwa marehemu katika kijiiji cha Magunga, Iringa kuwapa pole  wafiwa  na kukagua maandalizi ya  mazishi Desemba 5, 2014. (Picha na Ofisi yaWaziri Mkuu) 








Waziri Mkuu, Mizengo Pinda  akisalimiana na  baadhi  ya waombolezaji baada a kuwasili nyumbani kwa  aliyekuwa  Wazri wa Fedha, Dr. William Mgimwa  katia kijiji cha Magunga ambako alikwenda kutoa pole na kukagua maandalizi ya  mazishi Januari 5, 2013. (Picha na  Ofisi ya Waziri Mkuu)


 

0 comments:

Post a Comment

« Newer Post Older Post » Home

Popular Posts

  • MIUNDO MBINU YA TANESCO IMECHOKA
    WIZARA ya Nishati na Madini, imesema tatizo la umeme nchini linatokana na kuchoka kwa miundombinu na hivyo kuzidiwa nguvu. Kauli hiyo ...
  • UFUFUMA FOREST CONSERVATION SOCIETY ZANZIBAR
    What to do in Zanzibar when you’re a tourist? I had booked myself a 4-day trip to the island, and, taking the advice of friends and a quic...
  • Serikali yaruhusu wafanyabiashara kuagiza sukari nje
    SERIKALI itatoa leseni kwa wafanyabiashara wa hapa nchini, ili kuwawezesha kuagiza tani 120,000 za sukari kutoka nje ya nchi na sukari hiyo...
  • Tupac Shakur Covers "XXL" On The 15th Anniversary Of His Death
    Rap icon Tupac Shakur covers the latest issue of XXL in a profile that celebrates the rapper, who passed away 15 years ago. In the latest...
  • Mbunge, wananchi wavamia Dawasco
    BAADHI ya wananchi wa Ubungo katika Manispaa ya Kinondoni, jana wavamia Ofisi za Kampuni inayosambaza maji katika Jiji la Dar es Salaam na...
  • Dowans yawabwaga wanaharakati mahakamani
    WAMILIKI wa Kampuni ya kufua umeme wa dharura ya Dowans jana walitoka mahakamani kwa furaha baada ya Mahakama Kuu ya Tanzania kutupilia mba...
  • Chimbuko la kuvuja kwa mitihani nchini Tanzania
    Chimbuko la uvujaji wa mitihani nchini Tanzania lina historia ndefu inayoenda sambamba na kuundwa kwa BARAZA LA MITIHANI LA TAI...
  • RAIS MUSEV AFANYA MABADILIKO JESHIN
    RAIS wa Uganda, Yoweri Museveni amewapandisha vyeo maofisa wa juu wa jeshi pamoja na kuwahamisha baadhi ya maofisa akiwemo mlinzi wake mk...
  • HOTUBA YA MHESHIMIWA MIZENGO P. PINDA (MB), WAZIRI MKUU WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, WAKATI WA KUHITIMISHA SHUGHULI ZA MKUTANO WA 14 WA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
    I:          UTANGULIZI  a)            Masuala ya Jumla   Mheshimiwa Spika, 1.              Ni jambo la kumshukuru Mwenyezi M...
  • RAISI JAKAYA KIKWETE AKILIHUTUBIA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO
    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania DK.Jakaya kikwete akilihutubia bunge mjini Dodoma.kulia ni spika wa Bunge Anne Makinda.  Wab...
globalwisesoftnet & graphic designer tanzania. Powered by Blogger.

MATANGAZO

Zanzibar RESTAURANT

TANGAZA BIASHARA YAKO NASI

JITOKEZEDIRECTORY TANZANIA
BOX 24023
Dar salaam
Tanzania Tel, +255787257871,+255655257871
Email; baharileotz@gmail.com
globalwisesoftnet@gmail.com http://habarileotanzania.blogspot.com/

Website counter
 
 
Habari Leo Tanzania, Media, (East Africa)
Habari Leo Tanzania, Media, (East Africa) © 2011 | Designed by globalwisesoftnet