skip to main | skip to sidebar
Facebook RSS Feed Twitter

Habari Leo Tanzania, Media, (East Africa)

Pages

  • Home

PINDA AENDA NYUMBANI KWA MAREHEMU MGIGWA KUKAGUA MAANDALIZI YA MAZISHI NA KUWAPA POLE WAFIWA

Jitokezedirectory Wednesday, January 8, 2014



Waziri Mkuu, Mizengo Pinda  akisalimiana na baadhi  ya waombolezaji baada a kuwasili nyumbani kwa  aliyekuwa  Wazri wa Fedha, Dr. William Mgimwa  katia kijiji cha Magunga ambako alikwenda kutoa pole na kukagua maandalizi ya  mazishi Januari 5, 2013. (Picha na  Ofisi ya Waziri Mkuu) 


Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na  Bibi Jane Katingo, Mama Mzazi wa Aliekuwa Waziri wa Fedha, Dr. William Mgimwa wakati  alipokwenda  nyumbani kwa marehemu huyo katika kijiji cha Magunga, Iringa  kutoa pole na kuangalia maandalizi a mazishi  Januari 5, 20134. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) 




 Waziri mkuu, Mizengo  Pinda  akizungumza na   jamaa wa karibu wa aliyekuwa waziri wa Fedha, Dr. William Mgimwa baada ya kuwasili nyumbani kwa marehemu katika kijiiji cha Magunga, Iringa kuwapa pole  wafiwa  na kukagua maandalizi ya  mazishi Desemba 5, 2014. (Picha na Ofisi yaWaziri Mkuu) 








Waziri Mkuu, Mizengo Pinda  akisalimiana na  baadhi  ya waombolezaji baada a kuwasili nyumbani kwa  aliyekuwa  Wazri wa Fedha, Dr. William Mgimwa  katia kijiji cha Magunga ambako alikwenda kutoa pole na kukagua maandalizi ya  mazishi Januari 5, 2013. (Picha na  Ofisi ya Waziri Mkuu)


 

0 comments:

Post a Comment

« Newer Post Older Post » Home

Popular Posts

  • FAHAM MADHALA YA KUONGEZA MAKALIO
    NEW YORK, Marekani VIDEO iliyoonyweshwa mwishoni mwa wiki katika mitandao mbalimbali ya kijamii, ambayo ilielezea madhara ya taratibu ana...
  • TANZANIA KUPUNGUZA MAAMBUKIZI YA VVU HADI KUFIKI 2015
    RAIS Jakaya Kikwete ameeleza mikakati ya Serikali yake kuwa ni kuhakikisha inamaliza kabisa maambukizi mapya ya virusi vya Ukimwi ifikapo...
  • WINGEREZA YASITISHA MSAADA KWA NCHI YA RWANDA
    Uingereza imesitisha kwa muda msaada iliyokuwa iipe Rwanda kwa sababu ya wasiwasi kuhusu kuhusika kwa nchi hiyo katika mzozo uliopo Jam...
  • TAARIFA KWA UMMA KUHUSU BEI ELEKEZI ZA MAFUTA KUANZIA KESHO
    Huduma ya Maji na Nishati (EWURA), Mhandisi Godwin Samwel, akizungumza na wanahabari jana jijini, Dar es Salaam kuhusu kupanda kwa bei za m...
  • MCL yatoa zawadi ya Eid El Fitr kwa watoto
    KAMPUNI ya Mwananchi Communications Limited (MCL) inayochapisha magazeti ya Mwananchi, The Citizen na Mwanaspoti imetoa msaada wa kilo 200 ...
  • DAWA ZA KULEVYA ZA MWEKA PABAYA RY C
    HERIETH MAKWETTA MSANII wa muziki wa kizazi kipya kutoka Tanzania, Rehema Chalamila maarufu kama Ray C, yupo katika kituo maalumu cha msa...
  • MAHULA AIBWAGA SERIKALI KORTINI KESI YA UHUJUMU UCHUMI
    MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imewasafisha aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini Italia, Profesa Costa Mahalu na Ofisa Utawala wa ubalozi ...
  • UPELELEZI WA KESI YA MSANII LULU BADO NI MBICHI
    UPELELEZI wa kesi inayomkabili Msanii wa filamu nchini, Elizabeth Michael maarufu kama Lulu, anayekabiliwa na kesi ya mauaji katika Maha...
  • WAZANZIBAR WAASWA KUTUNZA NA KUKUZA UTALII WA NDANI
    Wananchi wameshauriwa kutekeleza agizo la Utalii kwa wote kwa kuyatembelea maeneo mbali mbali ya utalii Zanzibar ili kufahamu historia y...
  • Pinda kuongoza mawaziri kujadili uhaba wa sukari
    KUTOKANA na kile kichoonekana ni kutaka kukabiliana na uhaba wa sukari na kupanda kwa bei yake, Waziri Mkuu Mizengo Pinda anatarajia kukuta...
globalwisesoftnet & graphic designer tanzania. Powered by Blogger.

MATANGAZO

Zanzibar RESTAURANT

TANGAZA BIASHARA YAKO NASI

JITOKEZEDIRECTORY TANZANIA
BOX 24023
Dar salaam
Tanzania Tel, +255787257871,+255655257871
Email; baharileotz@gmail.com
globalwisesoftnet@gmail.com http://habarileotanzania.blogspot.com/

Website counter
 
 
Habari Leo Tanzania, Media, (East Africa)
Habari Leo Tanzania, Media, (East Africa) © 2011 | Designed by globalwisesoftnet