skip to main | skip to sidebar
Facebook RSS Feed Twitter

Habari Leo Tanzania, Media, (East Africa)

Pages

  • Home

PINDA AENDA NYUMBANI KWA MAREHEMU MGIGWA KUKAGUA MAANDALIZI YA MAZISHI NA KUWAPA POLE WAFIWA

Jitokezedirectory Wednesday, January 8, 2014



Waziri Mkuu, Mizengo Pinda  akisalimiana na baadhi  ya waombolezaji baada a kuwasili nyumbani kwa  aliyekuwa  Wazri wa Fedha, Dr. William Mgimwa  katia kijiji cha Magunga ambako alikwenda kutoa pole na kukagua maandalizi ya  mazishi Januari 5, 2013. (Picha na  Ofisi ya Waziri Mkuu) 


Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na  Bibi Jane Katingo, Mama Mzazi wa Aliekuwa Waziri wa Fedha, Dr. William Mgimwa wakati  alipokwenda  nyumbani kwa marehemu huyo katika kijiji cha Magunga, Iringa  kutoa pole na kuangalia maandalizi a mazishi  Januari 5, 20134. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) 




 Waziri mkuu, Mizengo  Pinda  akizungumza na   jamaa wa karibu wa aliyekuwa waziri wa Fedha, Dr. William Mgimwa baada ya kuwasili nyumbani kwa marehemu katika kijiiji cha Magunga, Iringa kuwapa pole  wafiwa  na kukagua maandalizi ya  mazishi Desemba 5, 2014. (Picha na Ofisi yaWaziri Mkuu) 








Waziri Mkuu, Mizengo Pinda  akisalimiana na  baadhi  ya waombolezaji baada a kuwasili nyumbani kwa  aliyekuwa  Wazri wa Fedha, Dr. William Mgimwa  katia kijiji cha Magunga ambako alikwenda kutoa pole na kukagua maandalizi ya  mazishi Januari 5, 2013. (Picha na  Ofisi ya Waziri Mkuu)


 

0 comments:

Post a Comment

« Newer Post Older Post » Home

Popular Posts

  • UFUFUMA FOREST CONSERVATION SOCIETY ZANZIBAR
    What to do in Zanzibar when you’re a tourist? I had booked myself a 4-day trip to the island, and, taking the advice of friends and a quic...
  • RAIS JK AWAPANDISHA VYEO MAJENERALI
    RAIS Jakaya Kikwete amewapandisha vyeo maofisa wakuu kutoka cheo cha Meja Jenerali kuwa Luteni Jenerali kuanzia Novemba 21,mwaka huu. K...
  • Pinda kuongoza mawaziri kujadili uhaba wa sukari
    KUTOKANA na kile kichoonekana ni kutaka kukabiliana na uhaba wa sukari na kupanda kwa bei yake, Waziri Mkuu Mizengo Pinda anatarajia kukuta...
  • JAKAYA KUFUNGUA MKUTANI WA GAVI LEO
    Na Heka Paul na Shakila Galus- MAELEZO- Dar es salaam Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Jakaya Mrisho Kikwete anatarajiwa kuf...
  • MBUNGE APINGA NAFASI ZA DRC
    MBUNGE wa Jimbo la Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi, maarufu Sugu, ameungana na wananchi wanaotaka Katiba Mpya ifute uwepo wa wakuu wa wilaya...
  • Brazil pledges 50bn reais of spending cut
    Brazil's government has said it will implement 50bn reais ($30bn; £19bn) of spending cuts in order to curb inflation and help prevent t...
  • ORODHA MPYA YA VYUO VIKUU 100 BORA BARANI AFRICA, UDSM YAWA YA NNE…AFRICA KUSINI WATAMBA
    The rankings of Africa’s top higher education institutions is provided by the 4 International Colleges & Universities (4icu). ...
  • MATUMIZI YA BLACKBERY NCHI ZA ULAYA
    Katika Teknolojia Wiki Hii - Polisi yawasaka watumiaji Blackberry, wadukuzi walenga Blackberry, mashine za kupaa zilizotengenezwa nyumbani ...
  • Dowans yawabwaga wanaharakati mahakamani
    WAMILIKI wa Kampuni ya kufua umeme wa dharura ya Dowans jana walitoka mahakamani kwa furaha baada ya Mahakama Kuu ya Tanzania kutupilia mba...
  • RAIS KIKWETE
globalwisesoftnet & graphic designer tanzania. Powered by Blogger.

MATANGAZO

Zanzibar RESTAURANT

TANGAZA BIASHARA YAKO NASI

JITOKEZEDIRECTORY TANZANIA
BOX 24023
Dar salaam
Tanzania Tel, +255787257871,+255655257871
Email; baharileotz@gmail.com
globalwisesoftnet@gmail.com http://habarileotanzania.blogspot.com/

Website counter
 
 
Habari Leo Tanzania, Media, (East Africa)
Habari Leo Tanzania, Media, (East Africa) © 2011 | Designed by globalwisesoftnet