skip to main | skip to sidebar
Facebook RSS Feed Twitter

Habari Leo Tanzania, Media, (East Africa)

Pages

  • Home

PINDA AENDA NYUMBANI KWA MAREHEMU MGIGWA KUKAGUA MAANDALIZI YA MAZISHI NA KUWAPA POLE WAFIWA

Jitokezedirectory Wednesday, January 8, 2014



Waziri Mkuu, Mizengo Pinda  akisalimiana na baadhi  ya waombolezaji baada a kuwasili nyumbani kwa  aliyekuwa  Wazri wa Fedha, Dr. William Mgimwa  katia kijiji cha Magunga ambako alikwenda kutoa pole na kukagua maandalizi ya  mazishi Januari 5, 2013. (Picha na  Ofisi ya Waziri Mkuu) 


Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na  Bibi Jane Katingo, Mama Mzazi wa Aliekuwa Waziri wa Fedha, Dr. William Mgimwa wakati  alipokwenda  nyumbani kwa marehemu huyo katika kijiji cha Magunga, Iringa  kutoa pole na kuangalia maandalizi a mazishi  Januari 5, 20134. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) 




 Waziri mkuu, Mizengo  Pinda  akizungumza na   jamaa wa karibu wa aliyekuwa waziri wa Fedha, Dr. William Mgimwa baada ya kuwasili nyumbani kwa marehemu katika kijiiji cha Magunga, Iringa kuwapa pole  wafiwa  na kukagua maandalizi ya  mazishi Desemba 5, 2014. (Picha na Ofisi yaWaziri Mkuu) 








Waziri Mkuu, Mizengo Pinda  akisalimiana na  baadhi  ya waombolezaji baada a kuwasili nyumbani kwa  aliyekuwa  Wazri wa Fedha, Dr. William Mgimwa  katia kijiji cha Magunga ambako alikwenda kutoa pole na kukagua maandalizi ya  mazishi Januari 5, 2013. (Picha na  Ofisi ya Waziri Mkuu)


 

0 comments:

Post a Comment

« Newer Post Older Post » Home

Popular Posts

  • Globalwisesoftnet Has Joined the Partnership with Google and Microsoft
    Company ya Globalwisesoftnet Tanzania, ime sign Contract na Company ya Google pamoja na Microsoft, kwa lengo la kuendeleza na kubuni mbinu ...
  • Serikali yaruhusu wafanyabiashara kuagiza sukari nje
    SERIKALI itatoa leseni kwa wafanyabiashara wa hapa nchini, ili kuwawezesha kuagiza tani 120,000 za sukari kutoka nje ya nchi na sukari hiyo...
  • Arsenal yamsajili Alex Oxlade-Chamberlain
    Arsenal imemsajili winga wa Southampton Alex Oxlade-Chamberlain kwa ada inayoaminika ni paundi milioni 15. Mchezaji huyo mwenye umri wa m...
  • TAARIFA KWA UMMA KUHUSU BEI ELEKEZI ZA MAFUTA KUANZIA KESHO
    Huduma ya Maji na Nishati (EWURA), Mhandisi Godwin Samwel, akizungumza na wanahabari jana jijini, Dar es Salaam kuhusu kupanda kwa bei za m...
  • Dowans yawabwaga wanaharakati mahakamani
    WAMILIKI wa Kampuni ya kufua umeme wa dharura ya Dowans jana walitoka mahakamani kwa furaha baada ya Mahakama Kuu ya Tanzania kutupilia mba...
  • Balozi Idd achia ngazi Kitope
    Balozi Seif Ai Iddi (kulia) ambaye ni makamu wa pili wa rais wa zanzibar na mbunge wa jimbo la kitope kaskazini unguja akizungumza na spika...
  • RAIS KIKWETE
  • ZIARA YA KATIBU WA NAPE KATIKA VYOMBO VYA HABARI
    Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye akionyshwa DJ Tasi (kushoto) anavyofanyakazi alipotembelea kituo cha Magic FM akaiwa katika z...
  • Ukuta wa Berlin unakumbukwa
    Kwa miaka 28 ukuta huo ulitenganisha upande wa mashariki uliokuwa chini ya utawala wa kikoministi na ule uliokuwa sehemu ya Ujerumani Mag...
  • WAZUNGU WATEKWA MAJAMBAZI JIONI HII DAR!
    Wazungu wawili raia wa Ujerumani, VEIXLAR MARLM (24), WEIXLER ROLAND (21) wamenusurika kuuawa baada ya kutekwa na watu waliojifanya waendes...
globalwisesoftnet & graphic designer tanzania. Powered by Blogger.

MATANGAZO

Zanzibar RESTAURANT

TANGAZA BIASHARA YAKO NASI

JITOKEZEDIRECTORY TANZANIA
BOX 24023
Dar salaam
Tanzania Tel, +255787257871,+255655257871
Email; baharileotz@gmail.com
globalwisesoftnet@gmail.com http://habarileotanzania.blogspot.com/

Website counter
 
 
Habari Leo Tanzania, Media, (East Africa)
Habari Leo Tanzania, Media, (East Africa) © 2011 | Designed by globalwisesoftnet